0 Comment
*NIRC Singida. Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye ni mbunge wa Iramba Magharibi ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kuendelea kuboresha sekta ya kilimo nchini kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwani hatua zinazochukuliwa zitaboresha maisha ya Watanzania hasa wakulima. Amesema Waziri wa. Kilimo Hussein Bashe anaitendea haki sekta ya kilimo na hakuna miujiza katika... Read More











