0 Comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Nyasa mkoani Ruvuma Khalid Halif akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Halmashauri hiyo kwenye kikao cha Baraza la madiwani kilichofanyika jana. Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya Nyasa mkoani Ruvuma,wakifuatilia taarifa ya utekelezaji wa miradi na shughuli za maendeleo kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri... Read More