Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Millioni 100 kwaajili ya ukarabati wa bwalo la shule ya msingi ya Chief zulu na kuiagiza ofisi ya Halmashauri kuongezea Millioni Mia moja nyingine na kufikia lengo la Millioni 200 Hayo yamefanyika leo alipotembelea na kuzindua shule ya msingi ya mchepuo wa Kiingereza ya... Read More