Mbunge wa Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda, akiwa katika halmashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi. Read More
“Leo hii Tanzania ina zaidi ya wasichana 4,500 walio katika shule maalum za wasichana zinazolenga kuwajenga wasichana katika mlengo wa Sayansi, Hisabati na TEHAMA”. Maneno haya yamenenwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akizindua Shule ya Wasichana Namtumbo na kusalimia Wananchi na Wanafunzi Mkoani Ruvuma, leo tarehe... Read More
Afisa Elimu mwandamizi wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania, Bi. Anna Sonelo akizungumzia umuhimu wa warsha maalum iliyoandaliwa na Kitengo cha Elimu cha Makumbusho ya Taifa kwa kushirikiana na Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari kanda ya Dar es Salaam (TAHOSSA) iliyofanyika katika Kituo cha Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam... Read More
Taasisi isiyo ya kiserikali ya LALJI FOUNDATION imetoa msaada wa madawati 100 kwa shule za msingi 2 Wilayani Kisarawe ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha mazingira ya sekta ya elimu nchini. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi madawati hayo kwa shule za msingi Msanga na Bembeza makamu Mwenyekiti taasisi ya LALJI... Read More
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam September 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.