0 Comment
Na Hamis Dambaya, NCAA Serikali imewapongeza wananchi wa tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha kwa kuendelea kudumisha umoja, amani na utulivu katika eneo hilo na hivyo kuendeleza falsafa ya R4 ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kutaka wananchi wote kuishi kwa maelewano na maridhiano. Akizungumza mara baada ya... Read More