0 Comment
Na Mwandishi Wetu OFISA Mkuu wa Usambazaji kutoka Kampuni ya Jubilee Insurance Rogation Selengia anaeleza kuwa Bima ya afya sio tena anasa bali ni lazima. Akizungumza kuhusu umuhimu wa Bima Selengia anasema pamoja na gharama za matibabu zinazoongezeka, mpango bima sahihi na unaofaa unatoa ufikiaji wa huduma muhimu bila mzigo wa msongo wa kifedha.... Read More