0 Comment
Na Said Mwishehe,Mbeya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananchi wa Jimbo la Uyole Mkoani Mbeya waliofurika Barabarani kumlaki wakati wa Mikutano ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 05,2025. Dk.Samia wamepata nafasi ya kusalimiana na wananchi hao na kisha kuomba kura akiwa... Read More