Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu hatua mbalimbali za upokeaji na uuzaji wa madini ya dhahabu katika Soko Kuu la Dhahabu Geita. Read More
Rais Samia amechangia shilingi milioni 50 kuchangia ujenzi wa shule ya msingi na umaliziaji wa majengo ya zahanati inayomilikiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania – BAKWATA mkoa wa Simiyu. Read More
Muungano wa nchi 104 wanachama wa Umoja wa Mataifa, pamoja na Umoja wa Afrika, umelaani uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kumtangaza Katibu Mkuu Antonio Guterres “kuwa mtu asiyetakikana.” Read More
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco limewasha umeme na kugawa mitungi ya gesi kwa akina mama wajasiliamali katika Kijiji cha Nnyanungu Wilayani Serengeti Mkoani mara Read More
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limekutana na Mkuu wa Mkoa wa Mara,kuzungumzia usalama wa usafiri wa majini kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa. Read More