0 Comment
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa Taasisi za Kusafirisha Mahujaji wa Zanzibar, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 5-10-2024,katika Kikao cha kutathmini Hijja ya mwaka 1445 (Hijria) sawa na mwaka 2024, mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Ikulu Zanzibar leo 5-10-2024.(Picha na Ikulu)... Read More











