0 Comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya Mkoani Mara, Bw. Abdul Mtaka, akitoa agizo kwa taasisi zenye tabia ya kushikilia kadi za benki za watumishi kama dhamana wanapokopa, kuacha mara moja vitendo hivyo kwa kuwa ni kinyume cha Sheria, wakati wa mkutano na Timu ya Wataalamu wa Elimu ya Fedha, kutoka Wizara ya Fedha,... Read More