0 Comment
Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), wakiongozwa na Kaimu Meneja Mkuu wa ETDCO CPA. Sadock Mugendi, wakiwa katika maandalizi ya kuipatia umeme laini mpya ya msongo wa kilovolti 132 kutoka Tabora hadi Ipole, Wilaya ya Sikonge. Mradi huo umekamilika kwa asilimia 100, ambapo tukio hilo... Read More