0 Comment
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Iringa Mjini, Mhe. Fadhili Ngajilo, ameongoza hafla ya kufunga bonanza la michezo lililofanyika mjini Iringa, ambapo amesisitiza umuhimu wa matamasha katika kuleta hamasa na kuhuisha shughuli za kijamii ndani ya mji. Akizungumza kama mgeni rasmi, Mhe. Ngajilo aliwashukuru wananchi wote waliojitokeza kushiriki na kuhudhuria bonanza hilo, akisema uwepo wao Read More








