0 Comment
Wakazi wa jiji la Arusha wakisubiri kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali zinazotolewa katika kambi maalumu ya matibabu yakiwemo ya moyo inayofanyika Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC). Na Mwandishi Maalumu – Arusha Arusha 30/12/2025 Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya mishipa ya damu kutanuka miguuni pamoja na wanaohitaji kuwekewa njia za kusafisha damu Read More







