Dar es Salaam – 29 Oktoba 2024 Kampuni kinara ya teknolojia na mawasiliano nchini, Vodacom Tanzania, imetangaza kufanya mabadiliko makubwa katika miundombinu ya mtandao wake ikiwa ni sehemu ya kuwahakikishia wateja wake huduma bora na za kisasa zaidi. Akizungumzia hatua hii, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Philip Besiimire alisema kuwa Vodacom imejidhatiti kuwa kinara katika... Read More