Mkutano wa kwanza wa Jukwaa la Wanawake katika usafiri wa anga Tanzania umefanyika kwa mara ya kwanza ukiwakutanisha wanawake viongozi katika sekta ya Usafiri wa Anga nchini. Ufunguzi wa Jukwaa hilo umefanyika jijini Dar es Salaam ulifanywa na Mhe. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Mhe. Riziki Juma Pembe, ambapo... Read More