Wananchi Mkoa wa Songwe wametakiwa kuhakikisha wanashiriki katika michezo mbalimbali ili waepukane na vitendo vya uhalifu ambavyo vinaweza kuleta madhara kwa jamii. Hayo yalisemwa Februari 19, 2025 na Afisa Mnadhimu wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Akama Shaaban wakati akifungua Mashindano ya Polisi Famili Day Cup ambayo yanafanyika katika Viwanja vya... Read More










