Dar es Salaam, Tarehe 28 Oktoba 2024. Mwenyekiti wa Bodi Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Mhe. Jaji Mshibe Ali Bakari amewatunukia rasmi tuzo waandishi wa habari waliofanya vizuri kwa kipindi cha kuanzia mwezi Julai 2023 hadi Juni 2024 katika kuandika habari za hali ya hewa nchini. Hafla hiyo fupi ilifanyika katika ukumbi wa... Read More