NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mganga mkuu wa Halmashauri ya Kibaha mji Dkt.Cathirine Saguti amesema kwa uwepo wa wahudumu wa afya ngazi ya jamii unachangia kwa kiasi kikubwa kuibua wagonjwa wapya kwa watoto na Wanawake ambao wanakuwa wanafanyiwa ukatili kwenye maeneo yao. Dkt.Catherine amesena wahudumu hao katika Halmashauri ya Mji wa Kibaha wamefanikiwa kuibua wagonjwa 113 kati... Read More