Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati akizungumza katika kongamano la eLearning Afrika wakati alipomwakilisha Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Jijini Dar es Salaam Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akitoa maelezo kuhusiana na mkakati wa Serikali katika Tehama. Mwenyekiti wa Chama Cha wamiliki wa shule na vyuo binafsi-nchini, TAMONGSCO na Mmiliki... Read More