Farida Mangube, Morogoro. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Jafari A. Milango amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, akieleza dhamira yake ya kuwatumikia wananchi na kuharakisha maendeleo katika jimbo hilo. Awali Milango alikabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya, Comrade Michael... Read More
Na Farida Mangube, Morogoro Wanataaluma kutoka chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo SUA na chuo kikuu Mzumbe wameitaka jamii kuchangamkia matumizi ya nishati safi na jadidifu kama njia ya kuboresha maisha ya wananchi na kulinda mazingira, sambamba na juhudi za serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo β... Read More
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Macrina Clemens (kulia ) akikabidhiwa fomu na Katibu wa UWT Mkoa wa Tanga Anastazia Aman Na Mwandishi Wetu,TANGA. Read More
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dismas Nsindo, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Kuwania Udiwani WA Kata ya Buyuni, wilayani Ilala, mkoani Dar es salaam. Read More
Farida Mangube, Morogoro. Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Jafari A. Milango amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, akieleza dhamira yake ya kuwatumikia wananchi na kuharakisha maendeleo katika jimbo hilo. Awali Milango alikabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya, Comrade Michael... Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Mjumbe wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani Balozi Susanne Wusan-Rainer kando ya Mkutano wa Nne wa Kimataifa kuhusu Ufadhili wa Maendeleo (FfD4) Sevilla,Hispania. Read More
Picha ya wanawake wa kiislam wakiwa tayari kwa ajili ya kumsalimia mgeni rasmi katika kongamano la kumpongeza rais Na. Mwandishi wetu, Katavi. Jumuiya ya Wanawake wa Kiislam (T) mkoa wa Katavi imefanya kongamano la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uongozi bora kwa kipindi cha miaka minne.... Read More
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Aliyekuwa Mbubge wa Viti maalum kwa kipindi cha mwaka 2020/2025 kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Mchafu Chakoma amejitosa kuchukua fomu kwa kwa ajili ya kutetea nafasi yake ya Ubunge kwa kipindi cha mwaka 2025/2030. Mchafu ,amechukua fomu hiyo katika ofisi ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania... Read More
Tunduru – Ruvuma. Jumla ya Wanachama 8 wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba Mwaka huu. Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Yusuf Mabema amesema,kati ya wanachama hao 3 wanatoka Jimbo la Tunduru Kaskazini akiwemo aliyewahi kuwa Mbunge wa... Read More