Na Meleka Kulwa – Fullshangwe Blog, Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) inajivunia kuadhimisha miaka ishirini ya kuimarisha mfumo wa stakabadhi za ghala, ambao umeleta mapinduzi makubwa katika biashara ya kilimo nchini Tanzania. Tangu kuanzishwa kwake, WRRB imekuwa nguzo muhimu katika kuhakikisha uwazi, uaminifu na ushindani wa haki katika masoko ya mazao Read More





