Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali (mstaafu), Jacob Kingu amelipongeza Gereza la Songea kwa kuanza uzalishaji wa mkaa mbadala kwa ajili ya kupikia. Mwenyekiti Kingu ametoa pongezi hizo leo wakati wa ziara yake katika Mkoa Ruvuma iliyolenga kutembelea na kukagua mifumo ya nishati safi ya kupikia katika Magereza iliyowezeshwa na... Read More