Na Mwandishi wetu, Mbulu VIKUNDI 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya Sh168 milioni. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Rehema Bwasi ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha robo tatu ya mwaka wa fedha wa 2024/2025. Bwasi amesema vikundi hivyo vimeshafanyiwa ukaguzi... Read More