0 Comment
Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba SC raia wa Ivory Coast, Jean Charles Ahoua kwenye rada za Klabu ya JS Kabylie ya nchini Algeria kwa ajili ya msimu ujao wa 2025/26. Kwa mujibu wa chanzo cha Habari kutoka ndani ya Simba SC kilieleza kuwa mazungumzo yanakwenda vizuri kati ya uongozi wa Simba na JS... Read More




