0 Comment
Kitu cha muhimu ambacho Yanga wamekifanya ni kuwabakisha hii miamba ndani ya timu yao ….. Huu utatu ulikuwa kiungo muhimu kwenye Engine ya Yanga . Uwezo wa kupata kwenye msimu mzima ( sio Injury prone ) Energy yao kiwanjani umekuwa muhimili wa Yanga kupora mipira pale Wakipoteza umiliki then wazuri kufanya runs kushambulia box la... Read More







