0 Comment
Na Mwandishi wetu Singida Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Jerry Silaa (Mb) amesema, wananchi takriban 15,613 wa Kata ya Makuro na maeneo ya jirani wataanza kupata huduma ya mawasiliano ya simu ya uhakika kufuatia kukamilika kwa mnara uliojengwa na kampuni ya Airtel kwa ruzuku inatolewa na Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano... Read More