Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Meja Jenerali Shaban Baragash Mani (kulia) akimkabidhi bendera ya Taifa Mkuu wa kikundi kinachoenda kushiriki mazoezi ya Jeshi la Anga ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), nchini Zambia, Kanali Lazarro Kidendea Bunnus katika hafla iliyofanyika leo Septemba 2, 2025 katika Kikosi cha Anga cha JWTZ, Airwing, jijini Dar es Salaam
Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Meja Jenerali Shaban Baragash Mani akizungumza katika hafla ya kukabidhi bendera ya Taifa kwa kikundi kinachoenda kushiriki Mazoezi ya Jeshi la Anga ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), nchini Zambia iliyofanyika leo Septemba 2, 2025 katika Kikosi cha Anga cha JWTZ, Airwing, jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Operesheni na Mafunzo wa Kamandi ya Jeshi la Anga, Brigedia Jenerali Zeno Johnson Sikukuu akizungumza katika hafla ya kukabidhi bendera ya Taifa kwa kikundi kinachoenda kushiriki Mazoezi ya Jeshi la Anga ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), nchini Zambia iliyofanyika leo Septemba 2, 2025 katika Kikosi cha Anga cha JWTZ, Airwing, jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Anga Meja Jenerali Shaban Baragash Mani akiwa katika picha ya pamoja na kikundi kinachoenda kushiriki mazoezi ya Jeshi la Anga ya Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), nchini Zambia.
Picha za matukio mbalimbali.
………..
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM