Katika usiku wa kusisimua kwenye dimba la Emirates, kiungo wa kati wa Arsenal, Declan Rice, aling'ara kwa kufunga mabao mawili ya adhabu ndogo katika ushindi dhidi ya Real Madrid. Read More
Msanii maarufu wa sanaa ya uchekeshaji nchini Tanzania, Emmanuel Mathias almaarufu kama MC Pilipili, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukumbwa na maswali mazito kuhusu hali ya ndoa yake. Read More
Mkoa wa Pwani umepokea kwa heshima ya kuteuliwa kuwa mwenyeji wa shughuli ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kufanyika Aprili 2, 2025 katika Uwanja wa Shirika la Elimu Kibaha Read More