Steven Waiton Mengele, maarufu kama Steve Nyerere, ni miongoni mwa wadau muhimu wa maendeleo nchini kupitia mchango wake mkubwa katika sanaa za maigizo na uchekeshaji kwa miaka mingi. Read More
NAIROBI: KAMPUNI ya huduma za matukio na teknolojia ya sauti, Xpose, imewekeza kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya Shilingi milioni 19.3 kununua ‘mixer’ ya kisasa ya sauti aina ya DiGiCo Quantum 338, ikiwa ni hatua ya kuboresha viwango vya utoaji wa sauti katika matamasha na burudani ya moja kwa moja yatakayofanyika nchini Kenya. Kifaa hicho,... Read More
Kikosi cha wachezaji wa timu ya Taifa ya soka ya Morocco kimewasili Dar es Salaam kwa maandalizi ya mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024 dhidi ya ‘Taifa Stars’.
Read More
Mohammed Bajaber ametafakari juu ya kupanda kwake katika soka huku akiwapongeza kaka zake kwa kumpa motisha na kuwashawishi wazazi wao kumuacha aendelee na mchezo huo kwa umakini. Read More