0 Comment
Na Mwandishi wetu, Kiteto MWENGE wa uhuru mwaka 2025 umeridhia na kuikubali miradi yote sita ya maendeleo iliyoipitia ambayo ina thamani ya shilingi 1,412,757,592.5 . Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2025, Ismail Ussi ameipongeza Kiteto kwa miradi bora ya maendeleo, hamasa na mwamko waliyokuwa nayo wakazi wa eneo hilo. “Nawapongeza DC Kiteto... Read More