0 Comment
Na Sophia Kingimali. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Abdallah Mitawi amesema Serikali imeridhishwa na mchango wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) katika kukuza uchumi wa buluu nchini, huku ikiahidi kuimarisha ushirikiano na taasisi hiyo ili kufanikisha utekelezaji wa sera mpya ya uchumi wa buluu ya mwaka 2024.... Read More