0 Comment
📌REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi 📌Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza kuwa Mabalozi wa Nishati Safi Serikali imesambaza kwa Watumishi wa Jeshi la Magereza (Gereza la Ukonga) mitungi ya gesi ya kilogramu 15 pamoja na majiko yake 464 ili kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia... Read More