0 Comment
Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota, amewaongoza wakazi wa wilaya hiyo kufanya mazoezi leo, Novemba 1, 2024. Mazoezi hayo yameandaliwa kwa lengo la kuhamasisha ushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu. Kemirembe alisema mazoezi ni sehemu ya kujenga mwili, lakini pia wameyatumia kama njia ya kuhamasisha ushiriki katika... Read More