0 Comment
Tanzania inatarajia kuungana na nchi zaidi ya 50 duniani katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi, yanayochangia uharibifu wa mazingira kwa ujumla na wakati huo ikiendelea kukuza utalii. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania Bw. Ernest Mwamaja kwenye Mkutano wa 29 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa... Read More