0 Comment
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Sharrif Ali Sharrif akimkabidhi tuzo ya Watendaji Wakuu Bora wa mwaka 2024 Mtendaji Mkuu wa TARURA Mhandisi Victor Seff baada ya kuibuka kinara kwenye Tuzo ya ‘Top 100 Executive List Awards.Kulia ni Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila na kushoto ni Mwanzilishi... Read More









