Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza katika jukwaa la biashara kati ya Tanzania na Marekani, kwenye Makao Makuu ya City Bank, jijini New York, Marekani Septemba 26, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa katika meza ya mazungumzo na baadhi ya wawekezaji kwenye Makao Makuu ya City Bank, jijini New York,... Read More
Wakati waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, awasili mjini New York siku ya Alhamisi kabla ya hotuba yake kwa mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa, uliopangwa kufanyika Ijumaa asubuhi, huku waandamanaji wanaopinga vita huko Gaza wakikusanyika karibu na makao makuu ya Umoja wa Mataifa. Kundi moja la watu waliopeperusha bendera za Israel na mabango ya... Read More