Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwasilisha ujumbe wa Tanzania kwa Wakuu wa Nchi na Serikali kwenye Mkutano wa ngazi ya juu wa Wakuu wa Nchi na Serikali ‘Summit of the Future’ uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Umoja wa Mataifa New York nchini Marekani . *Apigia chapuo hifadhi ya mazingira, upatikanaji wa fedha na uhamishaji... Read More
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa upo umuhimu wa mataifa mbalimbali duniani kuboresha na kubadilisha mifumo ya kiutawala na ugawaji bora wa rasilimali ili kuwezesha utekelezaji wa Agenda ya 2030 ya Maendeleo endelevu kwa ufanisi zaidi. Dkt. Tulia... Read More
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza na ya mfano katika utekelezaji wa mpango wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na wakulima wadogo wa zao la kahawa. Read More