Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili na kupokelewa Wilaya ya Nzega, leo Ijumaa tarehe 20 Desemba 2024. Read More
Baadhi ya washiriki kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Tanzania wamekutana katika kikao cha kuimarisha ushirikiano katika masuala ya Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) Read More
Mawaziri wa Kisekta walioshiriki Jukwaa la Biashara na Uwekezaji lililoandaliwa na Ubalozi wa Tanzania nchini Saudi Artabia kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIA na Kituo cha kuendeleza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Riyadh nchini Oman Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Mthibiti Ubora wa Kiwanda cha Uzalishaji dawa za Binadamu cha CURE AFYA, Kareem Mruthu, alipotembelea kiwanda hicho kilichopo Kimbiji, Wilaya ya Kigamboni Dar es Salaam. Read More
Timu ya Serikali ya Majadiliano ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (Government Negotiation Team – GNT-LNG) ipo katika ziara nchini Indonesia. Read More
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) asaini Hati ya Mikataba Miwili (2) kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania Read More
Rais Samia amemtangaza Profesa Janabi kama muwakilishi aliyechaguliwa kuiwakilisha Tanzania katika kunyang'anyiro cha kuwa Mkurugenzi WHO Afrika. Read More