Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) a Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) wameendesha mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi wa TEHAMA wa taasisi hiyo. Read More
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Nchemba (Mb), amerejea wito wa Tanzania kwa Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), kukifanya Kiswahili kuwa miongozi mwa lugha rasmi za mawasiliano katika mikutano ya Taasisi hizo. Read More
Geita kumpokea rasmi mkandarasi, kampuni kutoka China, iliyoshinda kandarasi ya Mradi wa Kusambaza Umeme kwenye vitongoji 105 vya majimbo saba (7) ya mkoa humo. Read More
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) alisema kuwa karibu kila mtu katika Ukanda wa Gaza ana njaa, akiitaja hali hii kuwa “ukatili.” Picha: CNN Read More