0 Comment
Afisa Elimu mwandamizi wa Makumbusho ya Taifa la Tanzania, Bi. Anna Sonelo akizungumzia umuhimu wa warsha maalum iliyoandaliwa na Kitengo cha Elimu cha Makumbusho ya Taifa kwa kushirikiana na Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari kanda ya Dar es Salaam (TAHOSSA) iliyofanyika katika Kituo cha Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni jijini Dar es Salaam... Read More