0 Comment
Maandalizi yamekamilika kuelekea michuano maarufu ya mchezo wa gofu kwa wanawake inayojulikana kama ‘Tanzania Ladies Golf Open’ itakayofanyika jijini Arusha kwa siku tatu kuanzia Ijumaa wiki hii, huku wachezaji wa kitaifa na kimataifa wakijitokeza kushiriki. Michuano hii ipo katika kalenda ya matukio ya mchezo wa gofu duniani, hivyo kuyafanya kuwa moja ya michuano penda na... Read More