0 Comment
Na Sophia Kingimali. Kaimu Mkurugenzi wa Urekebishaji wa Sheria, Utafiti na Mafunzo, Rehema Katuga ameipongeza Wizara ya Katiba na Sheria kwa huduma bora na muhimu ambazo wanazitoa kwa wananchi, hususani katika kampeni ya muswada wa kisheria ya Mama Samia. Akizungumza na waandishi wa habari julai 7,2025 katika maonesho ya 49 ya kimataifa ya biashara amesema... Read More