0 Comment
Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo Julai 24,2025 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametembelea kiwanda cha kuunganisha magari aina ya FAW cha Rostar Vehicle Equipment Ltd ,wilayani Bagamoyo na ameridhishwa na kazi kubwa inayoendelea kufanyika . Amepongeza wawekezaji hao kushirikisha vijana wa Kitanzania kupata ajira na mafunzo ya kuunganisha magari hayo. “Vijana wana uwezo! Ni wabunifu,... Read More