0 Comment
13 Machi, 2025 Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze WAKAZI wa vijiji vya Kitonga, Milo, na Buyuni, kata ya Vigwaza, jimbo la Chalinze, mkoani Pwani, wanakabiliwa na changamoto kubwa ya ubovu wa barabara, hali inayowapa usumbufu mkubwa. Aidha, baadhi ya wakulima wameeleza kukerwa na changamoto ya wafugaji kulisha mifugo kwenye maeneo yao, ambapo wanadai kuwa wafugaji wanapewa... Read More