0 Comment
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (wa pili kushoto), akiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Dharura wa Baraza la Kisekta la Mawaziri Wanaosimamia Masuala ya Fedha na Uchumi (SCFEA) wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), uliofanyika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo, jijini Arusha. Wengine... Read More