0 Comment
BALOZI wa Tanzania Japan Baraka Luvanda kwa mara ya kwanza amepokea shehena ya Mananasi yaliyokaushwa kutoka kimele na Mapinga katika wilaya ua Bagamoyo Tanzania ikiwa ni sehemu ya utamburisho wa zao hilo katika soko la Japan. Balozi Luvanda amepokea bidhaa hiyo Septemba 24 , 2024 kupitia Kampuni ya Taishin Co. Ltd., ya Japan katika Bandari... Read More