Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Mtyangimbole, Madaba mkoani Ruvuma tarehe 24 Septemba, 2024. The post Rais Samia aweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Mtyangimbole first appeared... Read More
Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza na ya mfano katika utekelezaji wa mpango wa ushirikiano kati ya sekta binafsi na wakulima wadogo wa zao la kahawa. Read More