Waziri wa Kilimo,Mhe.Hussein Bashe amewataka wakulima wa Korosho kusini kuhakikisha shughuli zote zinazohusiana na korosho zinafanyika na kupatikana kusini ili kuondokana na umasikini. Read More
Tathmini ya athari za Mradi wa Kupunguza Vifo vya Wajawazito unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeonesha mafanikio makubwa katika uboreshaji wa huduma za afya ya uzazi Tanzania Bara na Zanzibar. Read More
Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imetangaza kuwa Mkutano wa Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar kwa mwaka 2025 utafanyika katika Kisiwa cha Pemba kuanzia Mei 7 hadi 10. Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Nathan Belete alipomtembelea ofisini kwake jijini Dodoma Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia historia ya Kiwanda cha kusafisha Mafuta cha Luanda Oil Refinery wakati akihitimisha ziara yake Jijini Luanda nchini Angola tarehe 09 Aprili, 2025. Read More