Picha Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Kanal Ahmed Abbas,akisalimiana na na wachezaji wa Timu ya Bombambili United kabla ya mchezo wa fainali wa mashindano ya Ruvuma Vijana Cup yaliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya vijana ya Chama cha Mapinduzi(UVCCM)Mkoa wa Ruvuma Kelvin Challe kati ya Timu hiyo na Bombambili City, mchezo fainali uliyochezwa katika... Read More