Wakala wa nishati Vijijini (REA) kupitia Meneja wake wa Kanda ya Ziwa Mhandisi Erenest Makale wamemtambulisha mkandarasi kwa ajili ya kuanza zoezi la kusambaza umeme kwenye vitongoji 135 vya Mkoa wa Kagera. Zoezi hilo limefanyika katika kata ya Katerero iliyopo Wilaya ya Bukoba huku likishuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Fatma Mwassa ambaye amemtaka... Read More