*Akagua miradi ya mbalimbali ya maendeleo na kuongea na wananchi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Soko la Temeke stereo pamoja na kituo cha daladala Buza wilaya ya Temeke na kuwataka wafanyabiashara na wananchi kujiepusha na watu wenye nia mbaya ya kuchafua amani ya nchi... Read More








