Mwenye picha hapo juu ni Binti wa Kitanzania anaitwa Vivian Mhagama Mvungi. Alizaliwa Dar es Salaam Mwaka 1999. Aliwahi kuishi Mlandizi na Morogoro na wazazi wake, Mama yake anaitwa Irene, Baba yake anaitwa Hussen Mvungi na Mdogo Wake anaitwa Abdulrahman. Vivian alikwenda Lubumbashi , Kongo mwaka 2009 akiambatana na Mama yake mzazi. Mama yake mzazi... Read More








