MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC, Libasse Gueye, ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mashujaa FC, uliomalizika kwa ushindi wa mabao 2-0 kwa Wekundu wa Msimbazi. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo uliopo Mbweni jijini Dar es Salaam, Simba... Read More



