NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wamepaza sauti zao kukemea Mfumo dume ambao umekuwa nisababu kubwa inayochangia Vijana na wanawake kufanya kazi zisizo na stara wala ujira ambapo imechangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili na kusababisha magonjwa ya kuambukiza. Akizungumza Septemba 25,2024 kwenye semina hizo zinazofanyika kila Jumatano ... Read More