Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimkabidhi tuzo ya kumshukuru Mke wa Rais wa Msumbiji Mhe. Mama Gueta Selemane Chapo kwa kutembelea taasisi hiyo na kuahidi kushirikiana nayo katika kutoa tiba ya magonjwa ya moyo alipotembelea taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona huduma za... Read More