0 Comment
Baada ya kufanikiwa kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) kwa msimu wa 2025/26, Klabu ya Yanga SC imeandika historia mpya katika soka la Tanzania. Kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizotolewa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Wananchi wamepanda hadi nafasi ya nane (8) bora kwenye viwango vya ubora... Read More










