0 Comment
Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, amewasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam akimuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, kama Mgeni Rasmi katika kilele cha Wiki ya Simba (Simba Day 2025). Katika tukio hilo kubwa linaloendelea hivi sasa, Waziri Aweso ameungana na viongozi wa Simba SC... Read More