0 Comment
#TETESI: Kibarua cha kocha Rúben Amorim ndani ya Manchester United kipo hatarini kuota ndago baada ya ripoti Nchini England kueleza kuwa amepewa mechi tatu tu kuokoa kazi yake klabuni hapo huku msururu wa makocha ukitajwa kuwania nafasi hiyo. Kocha huyo raia wa Ureno ambaye alipewa mikoba hiyo takribani miezi 10 iliyopita ameiongoza Man United kuwa... Read More