0 Comment
DAR ES SALAAM:MSANII wa muziki wa Singeli na Bongo Fleva, Dulla Makabila, amesema ameandika historia mpya katika kazi yake ya muziki baada ya kutumia kiasi cha Sh milioni 20 kwa ajili ya kutengeneza video ya wimbo mmoja. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii huyo amesema hiyo ni mara ya kwanza kwake kutumia bajeti kubwa kiasi... Read More







