0 Comment
NAIROBI: KAMPUNI ya huduma za matukio na teknolojia ya sauti, Xpose, imewekeza kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya Shilingi milioni 19.3 kununua ‘mixer’ ya kisasa ya sauti aina ya DiGiCo Quantum 338, ikiwa ni hatua ya kuboresha viwango vya utoaji wa sauti katika matamasha na burudani ya moja kwa moja yatakayofanyika nchini Kenya. Kifaa hicho,... Read More











