NAIROBI: KAMPUNI ya huduma za matukio na teknolojia ya sauti, Xpose, imewekeza kiasi kikubwa cha fedha zaidi ya Shilingi milioni 19.3 kununua ‘mixer’ ya kisasa ya sauti aina ya DiGiCo Quantum 338, ikiwa ni hatua ya kuboresha viwango vya utoaji wa sauti katika matamasha na burudani ya moja kwa moja yatakayofanyika nchini Kenya. Kifaa hicho,... Read More
Kikosi cha wachezaji wa timu ya Taifa ya soka ya Morocco kimewasili Dar es Salaam kwa maandalizi ya mchezo wa robo fainali ya CHAN 2024 dhidi ya ‘Taifa Stars’.
Read More
Mohammed Bajaber ametafakari juu ya kupanda kwake katika soka huku akiwapongeza kaka zake kwa kumpa motisha na kuwashawishi wazazi wao kumuacha aendelee na mchezo huo kwa umakini. Read More
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Simba SC, Mohammed Dewji (Mo Dewji) amethibitisha kuwa kutoka mwaka 2017 hadi mwaka 2024 ametumia zaidi ya Shilingi Bilioni 80 (Tsh. 87 B) kwenye masuala mbalimbali kwa ajili ya Klabu hiyo. Read More
Mabondia Kassim Mbundwike na Ezra Paulo wamefanikiwa kushinda mapambano yao ya fainali za President Cup nchini Comoros usiku wa kuamkia leo na kushinda medali za Dhahabu, simu janja na vikombe vya uchezaji bora. Read More