Watumishi wa Mamlaka kutoka kulia ni Judith Lema, Saile Kurata, Emanuel Lewanga na Benny Migire wakiwa wameshika Tuzo na Cheti cha Mshindi wa Pili baada ya kuibuka washindi wa pili kwenye kipengele cha Shughuli za Kitaaluma, za Kisayansi na Kiufundi katika Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yaliyofanyika katika viwanja vya Mandewa mkoani Singida kuanzia Aprili 24 hadi Aprili 30, 2025.
Tuzo na Cheti cha Mshindi wa Pili ambavyo Mamlaka imekabidhiwa baada ya kuibuka washindi wa pili kwenye kipengele cha Shughuli za Kitaaluma, za Kisayansi na Kiufundi katika Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yaliyofanyika katika viwanja vya Mandewa mkoani Singida na kuhitimishwa Aprili 30, 2025.