Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwaongoza Wajumbe wa Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kusimama kimya kwa dakika moja, kwa ajili ya heshima ya Hayati Mzee David Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia aliwahi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu na Mbunge wa CCM. Sekreterieti hiyo chini ya uenyekiti wa Balozi Nchimbi, imekutana katika kikao maalum kilichofanyika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, leo Alhamis tarehe 8 Mei 2025.

05/09/2025
0 Comment
1 Views
NCHIMBI AONGOZA WAJUMBE WA SEKRATIETI YA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA KWENYE KIKAO MAALUM DODOMA
by 4dmin
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiwaongoza Wajumbe wa Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kusimama kimya kwa dakika moja, kwa ajili ya heshima ya Hayati Mzee David Cleopa Msuya, Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia aliwahi... Read More