Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo akimpatia zawadi Meneja wa Radio ya Shamba FM ya Mkoani Iringa Bw. Laurian Deogratius baada ya kumaliza kipindi kilichoangazia masuala ya haki na wajibu wa mlipakodi pamoja na umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Shaga Gagunda akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Frola Fulgence akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Mkumbwa akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo akizungumzia mada ya haki na wajibu wa Mlipakodi katika kipindi cha radio cha kivulini kinachorushwa na Shamba FM iliyoko mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Meneja Msaidizi wa Huduma kwa Mlipakodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Iringa Bw. Musa Haruni akizungumzia mada ya umuhimu wa kulipa kodi katika kipindi cha radio cha kivulini kinachorushwa na Shamba FM iliyoko mkoani Iringa ikiwa ni sehemu ya zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Haika Mallya akimuelimisha mlipakodi wa eneo la Miyomboni Iringa wakati wa zoezi la utoaji wa elimu ya kodi mlango kwa mlango linaloendelea mkoani humo.