Walio kaa kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bi. Adolphina William na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Dkt. Mwajuma Hamza wakisaini mkataba wa makubaliano unaolenga kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo jumuishi kwa kuhakikisha wanawake na vijana wanapata fursa za kiuchumi, elimu, mikopo na msaada wa kitaalamu. Mkataba huo umesainiwa jijini Dar es Salaam leo Juni 18, 2025.
Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bi. Adolphina William na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Dkt. Mwajuma Hamza wakionesha mkataba wa makubaliano unaolenga kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo kwa wanawake na Vijana. Mkataba huo umesainiwa jijini Dar es Salaam leo Juni 18, 2025.